[emoji1787][emoji1787][emoji1787]MKUU KATIKA HAO MBUZI KIBA NDO YUPI PALE?!!!
May be hakujuaHaipendezi hata kidogo, lakini, je Mke kabla hajaolewa hakuna hill tatizo?
Maana ni ngumu kufukuza watu ulowakuta.mwanamke ilibidi kabla ya kuolewa aongee na Mme wake, kiba angetafuta sehemu ya kuweka Mke.ndugu wakabaki pale.
Ni mtizamo wangu.
Hii ndo njia sahihi...angewaachia nyumba ndugu zake kama Mondi alivyofanya[emoji23]Haipendezi hata kidogo, lakini, je Mke kabla hajaolewa hakuna hill tatizo?
Maana ni ngumu kufukuza watu ulowakuta.mwanamke ilibidi kabla ya kuolewa aongee na Mme wake, kiba angetafuta sehemu ya kuweka Mke.ndugu wakabaki pale.
Ni mtizamo wangu.
Aisee hakuna changamoto kubwa kama kuishi na ndugu wa mume na wakwe kwenye nyumba mojaa, kweli kiba na ufisi wao maana walimlaa Gigy yeye na abdukiba sasa leo hii huu undugu wa kujazana sehemu moja si balaaa hilii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani usifanye kitu nduguu hao wanakosoa mamaee ustar mzigo ndo alikiba!
Mke wa kiba akienda uwani usiku hivi ndo vile ndugu wa kina wanamtasmini...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]View attachment 1209899
Na inawezekana aliwaona ila akawa naiman kuwa watakuwa sawa.Haipendezi hata kidogo, lakini, je Mke kabla hajaolewa hakuna hill tatizo?
Maana ni ngumu kufukuza watu ulowakuta.mwanamke ilibidi kabla ya kuolewa aongee na Mme wake, kiba angetafuta sehemu ya kuweka Mke.ndugu wakabaki pale.
Ni mtizamo wangu.