MwananchiOG JF-Expert Member Joined Apr 4, 2023 Posts 2,507 Reaction score 4,935 Jun 11, 2024 #1 Timu ya Taifa inacheza lakini cha kushangaza Televisheni ya taifa, TBC haina muda wa kuonyesha mchezo huu muhimu, Je kama kituo namba moja cha taifa hakina muda na timu ya taifa, sisi wananchi je? PIA SOMA - LIVE - Zambia 0-1 Tanzania | Kufuzu Kombe la Dunia | Levy Mwanawasa Stadium | 11/06/2024
Timu ya Taifa inacheza lakini cha kushangaza Televisheni ya taifa, TBC haina muda wa kuonyesha mchezo huu muhimu, Je kama kituo namba moja cha taifa hakina muda na timu ya taifa, sisi wananchi je? PIA SOMA - LIVE - Zambia 0-1 Tanzania | Kufuzu Kombe la Dunia | Levy Mwanawasa Stadium | 11/06/2024
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 36,207 Reaction score 71,740 Jun 11, 2024 #2 Sisi wananchi tuendelee na Yanga...
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,920 Reaction score 193,945 Jun 11, 2024 #3 Mambo ya serikali ndivyo yalivyo... Cc: Mahondaw
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,213 Reaction score 4,192 Jun 11, 2024 #4 Kalpana said: Sisi wananchi tuendelee na Yanga... Click to expand... Yaani wewe mdomo wako unastahili uwekewe kufuri
Kalpana said: Sisi wananchi tuendelee na Yanga... Click to expand... Yaani wewe mdomo wako unastahili uwekewe kufuri
Aigle JF-Expert Member Joined Jul 4, 2020 Posts 1,539 Reaction score 8,032 Jun 11, 2024 #5 Ndio vizuri. Kifupi tufanye kama hatujui kama wanacheza. Itawasaidia wachezaji kutopata presha za bure za kisiasa kutoka kwa wanasiasa na machawa.
Ndio vizuri. Kifupi tufanye kama hatujui kama wanacheza. Itawasaidia wachezaji kutopata presha za bure za kisiasa kutoka kwa wanasiasa na machawa.
Mwambwaro JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,408 Reaction score 3,656 Jun 11, 2024 #6 wakishaona wamefika mbali watajitokeza
M Mtemi Mbojo JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 2,220 Reaction score 3,802 Jun 11, 2024 #7 Inashangaza kidogo..
MwananchiOG JF-Expert Member Joined Apr 4, 2023 Posts 2,507 Reaction score 4,935 Jun 11, 2024 Thread starter #8 Sasa kama TBC wenyewe hawaoneshi uzalendo, Nani mwingine??
M Mpanda nyangobe JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 778 Reaction score 1,722 Jun 11, 2024 #9 Lipia kifurushi jomba acha janjajanja
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 36,207 Reaction score 71,740 Jun 12, 2024 #10 Nkolandoto said: Yaani wewe mdomo wako unastahili uwekewe kufuri Click to expand... Duuuh...
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 74,340 Reaction score 183,259 Jun 12, 2024 #11 Smart911 said: Mambo ya serikali ndivyo yalivyo... Cc: Mahondaw Click to expand... Mambo yake tuiachie yenyewe lo
Smart911 said: Mambo ya serikali ndivyo yalivyo... Cc: Mahondaw Click to expand... Mambo yake tuiachie yenyewe lo