Hata kama ni mtangazaji wa udaku, this is too much soudy brown

Rire RINEY RA MITEGO NI RITABIRI MURA....bado next itakuwa ya FID Q a.k.a Ngosha
 
#INASEMEKANAETI muvi mpya ipo mbioni kutoka, kaeni mkao wa kula kwani itateka na kukonga nyoyo za wapenzi wa bongo movies...
 
Hii mimba imeshakuwa kero kwenye mitandao, ukifungua huku mimba ya Wema, ukienda home mimba ya Wema, ofisini wadada mimba ya Wema.

Wengine anayo wengine hana, automatically unajikuta umeguswa aisee.
Mimba ya wema ni gumzo kuliko hata marudio ya uchaguz zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…