Kumuua binadamu mwenzio asiye na hatia Kisha kumtia kwenye kiroba na kumtupa Ili umma ujue ,inalenga kuwatisha wananchi waone kwamba ninyi ni wa kuogopeka.
Ninasema waliouwawa ni wasio na hatia sababu kuu ni kuwa, Mahakama ndio sehemu pekee ambayo nchi na katiba yetu imeelekeza kutoa hukumu kwa watu wote, sasa kuua watu na kuwaita Katika viroba ni kujaribu kutisha watu.
Taratibu umma umeanza kuzoea jambo hili, na kuzoea ni kuota usugu.
Zamani waliogopa kusema kuhofia kutiwa kwenye viroba, sasa wanaongea wakiwa wamejiandaa kukabiliana na wauaji kwa namna mbalimbali.
Somo hapo ni kuwa, JAMII inazidi kubadilika na taratibu mbinu za watekaji kuteka watu zitabainika na JAMII itakabiliana nayo kwa kadri watakavyokuja.
Kitu pekee watekaji wamefanikiwa, ni kuwafanya watanzania kuzoea vitendo vya utekaji, hivi sasa SI kitu kigeni Tena kwao.
Na kitu ambacho watekaji wameshindwa ni kuzuia wananchi kuongea. Wameshindwa kutuogopesha, kutunyamazisha. Sisi wananchi ni wengi kuliko ninyi.
Mwanzoni waliogopa na kwenda kusemea chooni wakiogopa kutekwa, saizi wanasema peupe kwenye mitandao mbalimbali kwa namba zao wazi na sura zao wazi wazi.
Hatutaogopa, Hadi pale haki itakaposimama Katika taifa letu.
Haki haiombwi, inadaiwa, na ina Gharama zake ambazo watanzania tuko tayari kulipa.
NRNE 💪 🔥
EE MUNGU, ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha 🙏
Ninasema waliouwawa ni wasio na hatia sababu kuu ni kuwa, Mahakama ndio sehemu pekee ambayo nchi na katiba yetu imeelekeza kutoa hukumu kwa watu wote, sasa kuua watu na kuwaita Katika viroba ni kujaribu kutisha watu.
Taratibu umma umeanza kuzoea jambo hili, na kuzoea ni kuota usugu.
Zamani waliogopa kusema kuhofia kutiwa kwenye viroba, sasa wanaongea wakiwa wamejiandaa kukabiliana na wauaji kwa namna mbalimbali.
Somo hapo ni kuwa, JAMII inazidi kubadilika na taratibu mbinu za watekaji kuteka watu zitabainika na JAMII itakabiliana nayo kwa kadri watakavyokuja.
Kitu pekee watekaji wamefanikiwa, ni kuwafanya watanzania kuzoea vitendo vya utekaji, hivi sasa SI kitu kigeni Tena kwao.
Na kitu ambacho watekaji wameshindwa ni kuzuia wananchi kuongea. Wameshindwa kutuogopesha, kutunyamazisha. Sisi wananchi ni wengi kuliko ninyi.
Mwanzoni waliogopa na kwenda kusemea chooni wakiogopa kutekwa, saizi wanasema peupe kwenye mitandao mbalimbali kwa namba zao wazi na sura zao wazi wazi.
Hatutaogopa, Hadi pale haki itakaposimama Katika taifa letu.
Haki haiombwi, inadaiwa, na ina Gharama zake ambazo watanzania tuko tayari kulipa.
NRNE 💪 🔥
EE MUNGU, ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha 🙏