wakutomboka
Member
- Mar 11, 2012
- 25
- 4
Kwa taarifa za harakaharaka na zisizo rasm imesemekana kwamba siri kali imefuta hati ya ajira kwa mwaka huu. Sasa ndugu zangu na mie tujibanebane hukuhuku kwenye sekta binafsi
Inaonekana ukweli upo kwani kuna nafasi kibao watu wamepigishwa interview lakini hadi sasa watu hawaitwi kazini mfano UDOM,VETA etc.Kwa taarifa za harakaharaka na zisizo rasm imesemekana kwamba siri kali imefuta hati ya ajira kwa mwaka huu. Sasa ndugu zangu na mie tujibanebane hukuhuku kwenye sekta binafsi