Wapwa
Nilikua naangalia TBC hapa, mbatia kaanza kutema cheche wakakata fasta wakapeleka kwa rungwe
Huku rungwe anasema elimu bure tunadanganywa, gharama bado ni nyingi na mzigo kwa watanzania
Rungwe anasema, akiingia ikulu atauza gari zote za kifahari na viongozi kama ma DC watatembelea gari za kawaida kama Defender
Nimeipenda hii
Nilikua naangalia TBC hapa, mbatia kaanza kutema cheche wakakata fasta wakapeleka kwa rungwe
Huku rungwe anasema elimu bure tunadanganywa, gharama bado ni nyingi na mzigo kwa watanzania
Rungwe anasema, akiingia ikulu atauza gari zote za kifahari na viongozi kama ma DC watatembelea gari za kawaida kama Defender
Nimeipenda hii