Kama umri ndio kigezo cha kiwango, basi golikipa mpya wa Yanga kutoka Serengeti Boys, Ramadhan Kabwili ni bora kuliko Aishi Manula wa Simba. Pia Malimi Busungu ni bora kuliko mkongwe Amisi Tambwe
AFCON ipi tena Tanzania tuliyoshiriki, unazungumzia hii AFCON ya akina Yaya Toure, Asamoah Gyan, Benjamin Moukandjou, Dieumerci Mbokani na Victor Moses?
Huyo Niyonzima ilikuwa ajiunge na Simba kule South Africa. Sasa story imebadilika. Atajiunga nao huko Kigali. Tusubiri episode nyingine. Utakujasikia atajiunga nao wakirudi Dar. Ikifika hapo mjue ndiyo imetoka hiyo!