harrier for sale

harrier for sale

Jamani sema hatuna pesa hiyo 21ml ni ya kawaida sana kulingana na gari lilivyo...tatizo si huyu mwuzaji bwana freemoney tatizo ni hao TRA ushuru wao kwa gari ili na chaji za bandari zawezafika 7ml...bado kulisafirisha kutoka lilipotoka...na bado hujalinunua ndio maana kwenye showroom zetu ata vigari vidogo kama vitz..ist na raum kwa mwaka 2002 wataanza na12ml...watanzania tulitakiwa kufaidika na bandari yetu ila waho waheshimiwa wanapitisha gari zao bila ushuru...bei yako si mbaya utauza tu
Wewe unaonekana unajua magari na bei za magari zinavyopangwa. Waambie wakaangalie bei za gari hizo kwenye show rooms! Watashangaa!
 
Kama kuna mtu bado anahiitaji hii harrier bado ipo, sasa bei ni 20 million tu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Bei si mbaya utauza.

Lakini hapo nawezapata ndege nne zile za laki tano tano

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom