Mabeki tatu wa mbagala wapoje?Mtoa mada wewe ni me au ke kama ni ke basi utakuwa beki tatu wa mbagala na kama me utakuwa shoga wewe
Off coursehivi kumbe harmonize ndio harmorapa,nlikuwa najua ni mfanano tu wa majina,aisee si ndio yule mwenye vitukovituko?
Ila kumbuka harmonize alikuwa mshiriki BSS tena walimkataa mapemaaaaa watz hatkuwai kumjua adi alipotoka kimziki ndo kuanza kumkumbuka, ni malengo na jitihadaHiyo BSS ni mshindi gani ambae ana future kwenye muziki?! Yuko wapi Juma nne aliepewa gari? yuko wapi yule dada alieshinda akiwa mjamzito? BSS ni taasisi ya kupiga fedha za wafadhili tu kwa kigezo cha kuboresha vipaji lakini hamna kitu, ni wajasiriamali hao kina madam Ritha.
We mkeo/demu wako si ana uno mkuu au unataka cha harmo 🤣 🤣 🤣Mwambieni huyo Harmonize arudishe video ya UNO youtube wengine tulikua hatujaiona.
Watabiri wa maisha ya watu siku zote wako hivyo akuna anaetabiri ushindi kwa mwenzieHamis hana'future ya music anafit kwenye band za kizamani.
mkuu usintie simanzi wachaga wa rombo unawafahamu vizuri mijiuno yao.We mkeo/demu wako si ana uno mkuu au unataka cha harmo 🤣 🤣 🤣
leo ulipolala jana rudi kalale upande huo huoWatabiri wa maisha ya watu siku zote wako hivyo akuna anaetabiri ushindi kwa mwenzie
Maskini izi ndo tabiri zetu, ata aliye juu huwa tunamuotea kushuka tufananeleo ulipolala jana rudi kalale upande huo huo
hii point 💪
Kiuno na tako na mgongo tumbo, vyote vimewekwa pamojamkuu usintie simanzi wachaga wa rombo unawafahamu vizuri mijiuno yao.
Sawa juma lokole tumekusikiaHance Mtanashati, Afu kibaya zaidi baada ya kuona rayvanny amemwambia kwenye instagram yake kwamba atampatia zawaidi ndo kaona amovertime,but harmonize is nothing rather than showoff.
Dada powa huyoMleta mada nadhani umejiabisha sana,base on mada yako yaonesha unamchukia sana Harmonize na naamini wewe ni mdada Mana wanaume hatuna tabia hiyo na Kama wewe ni mwanaume basi utakua uko upande wa pili wa kiumeni.
What if huyu dogo angechukuliwa na Diamond, ungeleta upuuzi wako huu?
Jiheshimu Dada/Kaka
Hiyo BSS ni mshindi gani ambae ana future kwenye muziki?! Yuko wapi Juma nne aliepewa gari? yuko wapi yule dada alieshinda akiwa mjamzito? BSS ni taasisi ya kupiga fedha za wafadhili tu kwa kigezo cha kuboresha vipaji lakini hamna kitu, ni wajasiriamali hao kina madam Ritha.