Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

isho_boy

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
2,145
1,887
Kwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano anajulikana kwa jina la sarah na tyari yupo mimba....so mda cyo mrefu harmonize ataitwa baba......demu nasikia anamkwanja wa kutosha ndo anaempa jeuri harmonize apa mjini ndo maana kila siku anabadili dinga tu mara Prado mara Audi.

Hongera sana mmakonde kama izo story ni za kweli.....endelea kuliwakilisha taifa kwa huyo muitaliano.


===============================================

Nucky Thompson post
Ni kutoka kwa Shilawadu.. wawili hawa wanadaiwa kuachana, sijui inatokana na bidada huyu kuchafuliwa na hyule mwingine anayeishi mamtoni ama vipi, maana amekuwa akipost mambo ya kumdhalilisha dada huyu huko Insta, na watu wengi wanavyomuamini Harmonize akaona isiwe shida...
 
Lengo langu ni zuri tu ili tusichafue sifa ya kuitwa mwanaume au shoga maana kama mwanaume uliyekamili huwezi kuposti post yenye element za kishg.. a kama hiyo
Kama wewe ni Mwanaume uwe unakaa mbali na "Posts" za WANAMUME, maana hata rafiki yako Elton John anao uume. Ukiona post ya Mwanamume pita mbali
 
Ni kutoka kwa Shilawadu.. wawili hawa wanadaiwa kuachana, sijui inatokana na bidada huyu kuchafuliwa na hyule mwingine anayeishi mamtoni ama vipi, maana amekuwa akipost mambo ya kumdhalilisha dada huyu huko Insta, na watu wengi wanavyomuamini Harmonize akaona isiwe shida...
 
Kwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano anajulikana kwa jina la sarah na tyari yupo mimba....so mda cyo mrefu harmonize ataitwa baba......demu nasikia anamkwanja wa kutosha ndo anaempa jeuri harmonize apa mjini ndo maana kila siku anabadili dinga tu mara Prado mara Audi.

Hongera sana mmakonde kama izo story ni za kweli.....endelea kuliwakilisha taifa kwa huyo muitaliano.
Wanaume wa Dar buana,eti kampa jamaa/hamonizer hongera kwa kuweza kuwa marioo!!:):):)
 
Sasa hao wadaku si watakuwa wanaongelea waliyosoma insta au? Kama wangekuwa na ubuyu labda wa kweli wangeumwaga juzi na kabla.
 
Back
Top Bottom