Harmonize akiri kuachana na Kajala

Kadhakan

Senior Member
Joined
Jul 20, 2026
Posts
126
Reaction score
200
Staa mwenye Bongo Fleva yake, Harmonize kwenye Exclusive Interview na AMPLIFAYA ya CloudsFM, ameeleza wazi kwamba aliachana na Mchumba wake Mwigizaji Kajala miezi mitatu iliyopita na kwamba sio jambo analojivunia ndiyo maana amekuwa kimya.

Konde Boy ameongea haya wakati wa mahojiano hayo EXCLUSIVE yaliyofanyika kwa ajili ya kuipokea album yake mpya iitwayo ‘31’ ambayo ameiachia usiku wa kuamkia leo.

Je, itakuwa X harudiwi au X hana talaka?

Your browser is not able to display this video.
 
Hako majamaa kajinga sana,wanaume wa Dar hebu Katie makwenzi kana wa dhalilisha.
 
HuYu MSHenzi hawezi ongea kiswahili akanyooka...
Pumbavu hili...
Hivi unawezaje hoji mtu ka huyu...!?
 
Jamaa anahela anashindwa kupata mtoto mzuri akaoa?
Watoto wa kike wanamaliza shule kila mwaka lakini yeye na wabibi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…