watanzania tuna matatizo sana hivi Harmo Rappa kafanya kosa gani hadi anatukanwa kiasi hiki duuuu
Hivi ni kweli sote kwenye familia zetu...twaonekana wazuri kwa watu wote....
Harmo Rappa usivunjike Moyo ,usiteteleke,shikilia hapo hapo ......hahahah
hahahaha Mimi nimekuwa mshabiki kabisa wa Harmo Rappa.
Hivi unajua ana mpango wa kuwa na mlinzi binafsi anasema kwaajili ya usalama wake na baby wake....? hahaha
hahahaha Mimi nimekuwa mshabiki kabisa wa Harmo Rappa.
Hivi unajua ana mpango wa kuwa na mlinzi binafsi anasema kwaajili ya usalama wake na baby wake....? hahaha