Hard reset tecno w4

waweza kutumia combination ya keys, volum up na power key then menu itakuja. Ila cha kuzingatia n km uliweka protection account ya gmail ni lazima itahitajika ili kufikia home screen
 
Ninataka kufahamu hio hard reset kwenye tecno w4 kwa sababu kuna jamaa yangu anayo kama hii niliyokuwa nayo Mimi sasa ilikuwa inamshinda kidogo kufanya hiyo kitu Ila alifanikiwa kuifanyia kwa maelekezo yenu tatizo limekuja kwenye kuseti ili kuipata home screen maana ilikuwa inatafuta connection ya WiFi sehemu ya kuingiza google account haipatikani msaada
 
Ninataka kufahamu hio hard reset kwenye tecno w4 kwa sababu kuna jamaa yangu anayo kama hii niliyokuwa nayo Mimi sasa ilikuwa inamshinda kidogo kufanya hiyo kitu Ila alifanikiwa kuifanyia kwa maelekezo yenu tatizo limekuja kwenye kuseti ili kuipata home screen maana ilikuwa inatafuta connection ya WiFi sehemu ya kuingiza google account haipatikani msaada
Hiyo nikitu inaitwa frp huwezi mpaka tools hiyo ndiyo habari ya mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom