Jambo la msingi hapa ni kwamba, hule haukuwa ni kodi au mkopo, watu walijitoelea, na unapotoa sadaka na kutaka kujua imetumikaje, inakuwa sio sadaka bali ni mkopo wenye masharti
Hela hujatoa mrejesho unataka wann, kwnn hamuwezi kuona kitu na kunyamaza, kitu hakikuhusu unashadadia kaaa umetoa million