Madam, kwanza sijui unaelewa nini khs riziki?
Riziki ni jumla ya neema ambazo Allan anatupa, hata mvua nayo ni riziki, pigia mstari hapo, hata hela au kipato nayo ni riziki.
Sasa kwa taarifa yako,lau Allah angempa kila mtu riziki anayotaka basi tambua watu wangejawa na kiburi Sana na huenda pasingekalika kabisa, ebu angalia mfano tu wa watu wachache walio fanikiwa kimaisha, naamini baadhi umeshawahi kuona vituko na dharau zao,je ingekuwaje kama watu wote tungekuwa nazo?
Aliyetuumba anatujua vzr Sana kuliko ss tunavyojijua, anafanya kila jambo kwa hekima zake, natumaini walau kidogo umepata mwanga