Mungu awajalie upendo wa kudumu, amani isiyoisha na furaha tele katika ndoa yenu.
Mkawe mfano wa upendo wa kweli na mshikamano katika Maisha yenu ya ndoa.
Lamomy wangu, mawazo yako yapo sahihi maana imeandikwa; mwanamke huwa hapendi ila huwa anapendwa. Mdogo mdogo tutafika tu.
Kwa mwanaume wa Ukweli akipiga hodi kwa mlango na mwenye nyumba akagoma kufungua, hakati tamaa, anaendelea Kugonga hadi mwenye nyumba akereke na kwa hasira atafungua na kuona nani anasumbua. Hapo lengo la mpiga hodi ilitakiwa limetimia.
Haya si maneno yangu bali ya Jaramogi Odinga (RIP) akielezea kibano cha vyama vingi nchini Kenya enzi za Moi. Good morning