Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Nawatakia kila la heri kwenye huu mwezi mpya ambao unaanza na siku ya ukimwi duniani.
Please play safe sio krismas na mwaka mpya tu ila kila siku
Mwezi wa kujifanyia review kuhusu mtiririko mzima wa kimaisha kwa muda wa mwaka mzima uliopita...
Msikamue sana VIJANA tehe! hasa wale watakaokwenda kuhiji kule MIGOMBANI aka MOSHI
pia tukumbuke kuwa kadiri siku zinavyosonga mbele, ndivyo tunavyozidi kuikaribia ile siku yetu ya kufa.