usisahau kumshukuru mungu kwa kukufikisha siku ya leo..pia sama asante mama kwa kukuzaa na kukulea mpaka hapo ulipofikia...
wasichana wengi miaka hii wanatoa mimba na kuua/kutupa viumbe visivyokuwa na hatia.mama yako alikupenda na kukuthamin mpaka leo ukawa hivyo ulivyo...HAP B.DAY ONCE AGAIN JAMII F...