Ab-Titchaz JF-Expert Member Jan 30, 2008 14,631 4,225 Dec 13, 2011 #1 Kenya's 48th Jamhuri fete... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Askari Kanzu JF-Expert Member Jan 7, 2011 4,598 1,233 Dec 13, 2011 #4 Mbona hao askari watatu kulia (kuanzia huyo mwenye sura nusu pichani) wanarembua macho? Nway, hongera zao Wakenya!
Mbona hao askari watatu kulia (kuanzia huyo mwenye sura nusu pichani) wanarembua macho? Nway, hongera zao Wakenya!
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Dec 13, 2011 #6 Askari Kanzu said: View attachment 43248 Mbona hao askari watatu kulia (kuanzia huyo mwenye sura nusu pichani) wanarembua macho? Nway, hongera zao Wakenya! Click to expand... bangi na miraaa
Askari Kanzu said: View attachment 43248 Mbona hao askari watatu kulia (kuanzia huyo mwenye sura nusu pichani) wanarembua macho? Nway, hongera zao Wakenya! Click to expand... bangi na miraaa
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Dec 13, 2011 #8 Hongera zenu kwani mnayo haki ya kujivunia maendeleo yenu ya miaka 48 naomba mmwe walimu wa viongozi wa Tanzania wanaojisifia na upupu waliofanya na wanaoendelea kuufanya. Big up and God bless u all kenya
Hongera zenu kwani mnayo haki ya kujivunia maendeleo yenu ya miaka 48 naomba mmwe walimu wa viongozi wa Tanzania wanaojisifia na upupu waliofanya na wanaoendelea kuufanya. Big up and God bless u all kenya