Hapa ni kazi tu

Utashangaa na kuzimia nikikuambia kwamba nusu ya wanawake hawa wanaosota hapo hospitali wameipigia kura ccm juzi 25/10/2015!!!!!!!!! Nyani Ngabu, hebu lete ile signature yako hapa!
Wengi wa wtz wanadhani kufanyiwa maendeleo ni msaada wa sisiemu na si haki yao.
 
Hii picha UKAWA ndio ngao yao.

Ya zamani sana, na imeshawekwa hapa mara nyingi mno.

Tuwaachie UKAWA na wao wapate la kuongea, maana wamekuwa wakimya mno.

UKAWA njooni mchangie hapa ili mpate kupunguza maumivu mlio nayo.

Rais Magufuli, anawanyima raha watu kupita maelezo
 
Ccm ni ile ile .... Ohh ni ile ile...
 
Mnaanza kuonekana e...

Jichomozeni, sio mnajificha ficha.

Haya ungeni tela.

UKAWA mmeishiwa
 
Tunayo mengi ya kuongea. Na kuanzia sasa yatazidi kuongezeka, ila kwa sasa tunatafakari jinsi Nape alivyokanusha ahadi ya Magufuli ya "Kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi".
 
Tunayo mengi ya kuongea. Na kuanzia sasa yatazidi kuongezeka, ila kwa sasa tunatafakari jinsi Nape alivyokanusha ahadi ya Magufuli ya "Kuanzisha mahakama maalum ya mafisadi" https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=966861&p=14518001&posted=1#post14518001
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…