Hapa ndipo utagombana na unaweza Kuua mafundi wa Kitanzania

Wakati mwingine matatizo tunayaleta sisi mabosi. Kama ulimwamini katika kutafutatafuta yako ya hao mafundi bora wa kupiga rangi ukampata huyo unaona ugumu gani kumpa advance ya 800,000?

Hiyo 200,000 itamsaidia nini ukilinganisha na gharama za aina mbalimbali za rangi za kuchanyanya kupata ratio kamili ya rangi ya gari lako? Kwani yeye huyo jamaa ni kampuni kusema ana mtaji wa kutosha kufanyakazi amalize ndo alipwe?

Wangapi wanazungushwa na kutapeliwa baada ya kumaliza kazi? Wewe ndo umefanya kazi yake iwe ngumu kwa kutompa advance!
Jamaa anashindwa kutofautisha biashara anadhani ni kila biashara inakopesheka, na kwa ugumu wa mazingira aliyoweka watamchanganyia hata rangi ya nyumba
 
Komeo Lachuma, kwa nini mlikubaliana apakie rangi nyumbani kwako? Maana kwa uzoefu wangu, rangi ili itoke vizuri lazima ipakwe kwenye a controlled environment. Kusiwe na upepo, jua wala vumbi. Sasa sijui wenda kwako kuna hayo mazingira, ila kwa kawaida bila mazingira hayo niliyotaja hapo juu ni vigumu kutegemea kazi nzuri.
 
Nlimwambia fundi
1. Anitajie bei ya mwisho tusipotezeane muda kubargain.

2. Akague gari aniahidi lini atanipa gari ikiwa imekamilika.ataje siku ambayo na excuses zote zitakuwa included. Akanambia siku hizo.alinambia ile gari siku 3. Nikamwambia nampa na nyongeza.

Then nikamwambia pesa yake ntamkabidhi anaponikabidhi gari.

Kesho yake ananambia anataka advance. Ya nini?mbona hajanya kazi advance? Huo ni uhuni. Ujanja ujanja.
Yani Mkuu... binafsi nimekuelewa sana na kwa maelezo yako.... kosa lako ni moja, ukipenda mambo straight kama hivi nenda kwenye maeneo standard.

Hawa mafundi wa mtaani wengi ni magumashi... hata wale wanaojua kazi bado wanafanya kwa uswahili sanaaaa...

kuna mmoja nlimkimbiza baada ya kukuta anachomelea Geti langu bila miwani... akitaka kuchomelea anaangalia pembeni....

nkamuuliza hivyo unaonaje unachofanya? akaniambia "we tulia uone"..., nkamuomba aache kazi muda huo huo maana angeharibu hasingenilipa.. hivyo hasara ingekua kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona majibu yao? Wanarahisisha sana mambo wakati watu tunatoa pesa.mimi huyu fundi jamaa zangu ndo wamemletea wakimsifia sana.sasa nmeamua kutafuta tu garage inayojielewa.sitaki maneno na mtu.tusije wekana ndani kwa makosa tofauti tofauti.

Yani Mkuu... binafsi nimekuelewa sana na kwa maelezo yako.... kosa lako ni moja, ukipenda mambo straight kama hivi nenda kwenye maeneo standard.

Hawa mafundi wa mtaani wengi ni magumashi... hata wale wanaojua kazi bado wanafanya kwa uswahili sanaaaa...

kuna mmoja nlimkimbiza baada ya kukuta anachomelea Geti langu bila miwani... akitaka kuchomelea anaangalia pembeni....

nkamuuliza hivyo unaonaje unachofanya? akaniambia "we tulia uone"..., nkamuomba aache kazi muda huo huo maana angeharibu hasingenilipa.. hivyo hasara ingekua kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe mwenyewe ungepoteza imani kabisa. Hamna kipimo.anachanganya anavyoona tu inafaa.anachukua rangi anamimina kweye kopo anachukua kimiminika flani kwenye chupa ya maji anamimina akikadiria.then anachukua kingine nacho kwenye chupa ya maji anamimina.anakoroga anaenda kupuliza. No way....hiyo si sawa.


Ni bora ulipe pesa mingi upeleke gari kwa fundi mwenye nidhamu ya kazi na anayejua nini anafanya!

Najaribu ku imagine alivyokuwa anachanganya hizo rangi kama dawa za mitishamba! Ningekuwa mimi ningemtandika na vibao!
 
Mkuu shida ilianzia hapo.nami najua kuna vyumba maalum. Jamaa aliyemleta namheshimu sana alisisitiza gari itatoka kama ndo imetoka UK leo.nilimwambia hbr za unyevu,jua ,mvua pale home maana ni nje.akajibu jamaa anayafahamu yote.yaani mashaka naye yalianza mapema sana....


Komeo Lachuma, kwa nini mlikubaliana apakie rangi nyumbani kwako? Maana kwa uzoefu wangu, rangi ili itoke vizuri lazima ipakwe kwenye a controlled environment. Kusiwe na upepo, jua wala vumbi. Sasa sijui wenda kwako kuna hayo mazingira, ila kwa kawaida bila mazingira hayo niliyotaja hapo juu ni vigumu kutegemea kazi nzuri.
 
Huyu ni mtaalam kupiga rangi. Watu kadhaa walinielekeza kwake.gari ambayo inatakiwa kupigwa rangi ni kubwa. Actually ni katika tu kubadilisha rangi iendane na gari nyingine ilizozikuta.

Gari alinambia siku 4 itakuwa tayari.maandilizi n.k.haikuwa na pa kunyooshwa.akanambia atakuja kupigia hapa hapa gari ilipo.

Ameiandaa kwa kutumia vijana wake mara kadhaa. leo ni siku ya 6 ndo kaanza kupiga rangi.tuliandikishana 4 days.akataka nimpe advance. Nlimkatalia sana.maana ni sawa na mtu kutaka fungua duka atuuzie vitu but before sisi wateja tumpe pesa ya kuanzia mtaji.

Wife akatumia busara akasema basi angalau katika tsh 1,800,000. Nimpe hata 800,000. Nikampa 200,000 anunue materials n.k but aongezee za kwake.mimi nlitaka anikabidhi gari nimkabidhi pesa.

Leo siku ya 6 nmerud ameanza kupulizia rangi.kilichonikatisha tamaa ni ktk uchanganyaji wake. Sioni kama anazingatia vipimo vya thinner na kimiminika kingine sikifahamu na rangi yenyewe.anamimina tu kuchanganya anapuliza.

Namuuliza anajuaje ratio yake.anajibu kirahisi."tulia tu boss utaona mwenyewe kitu kinatoka kama ndo kimetoka leo kwa mwingereza"

Nimemwambia aachane na gari yangu aondoke maana naona anafanya masikhara.nlitegemea angekuwa na mchanganyiko unaofuata vipimo.

Lets say.

Rangi Lita moja
Thinner nusu lita
Na xxxxx robo au nusu lita.

Haipo hivyo.anachukua tu anamimina na kule anachukua anamimina anaweka kwenye kopo anapuliza.

WASIWASI WANGU.

inawezekana kusiwe na uwiano sahihi wa rangi au uimara wa rangi sababu mchanganyaji anachanganya kwa macho tu.

Pia alishavunja makubaliano /mkataba.nimemwambia aache gari abebe vyake tuagane kwa amani.hajaamini mpaka nlipoonesha sitanii.

Jambo hili ni tatizo kwa aina nyingi za mafundi tz.hawajali kabisa profession yao.ujanja ujanja tu mwingi wakituibia in kind.binafsi napinga sana jambo hilo.

Natafuta garage nzuri ambayo wanapiga rangi kitaalamu na bei zao ni nzuri standard siyo za kuanza kuimbishana.ila la muhimu wakisema gari uje kuchukue jumatano saa tano nikienda nikalipe nikague gari nichukue.

Hbr za msiba na ugonjwa mimi hazinihusu.
Bwana wee wanakera acha nxio maana tunawapa kazi wachina sometimes..... Kuna fala mmoja nimempa kazi na advance ya material kacbukua lakini kazi haiendi basi tabu tupu... Unamuuliza tabu nini anakodoa mimacho tuu.
 
Mtoa mada una matatizo ya ule uboss wa kisenge. Watu wanaojali standard kama unavyotaka wewe huwezi peleka gari gereji bubu. Eti unamwita Fundi apake rangi nyumbani kwako, harafu unalaumu quality. Gereji bora zipo wachina wenye gereji bora wapo huko temeke wewe unatafuta mafundi wa chini ya mti. Hela huna then unaleta mazarau
Acha ushamba, wenye standard zao wanajua gereji bora sio Kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mtaalam kupiga rangi. Watu kadhaa walinielekeza kwake.gari ambayo inatakiwa kupigwa rangi ni kubwa. Actually ni katika tu kubadilisha rangi iendane na gari nyingine ilizozikuta.

Gari alinambia siku 4 itakuwa tayari.maandilizi n.k.haikuwa na pa kunyooshwa.akanambia atakuja kupigia hapa hapa gari ilipo.

Ameiandaa kwa kutumia vijana wake mara kadhaa. leo ni siku ya 6 ndo kaanza kupiga rangi.tuliandikishana 4 days.akataka nimpe advance. Nlimkatalia sana.maana ni sawa na mtu kutaka fungua duka atuuzie vitu but before sisi wateja tumpe pesa ya kuanzia mtaji.

Wife akatumia busara akasema basi angalau katika tsh 1,800,000. Nimpe hata 800,000. Nikampa 200,000 anunue materials n.k but aongezee za kwake.mimi nlitaka anikabidhi gari nimkabidhi pesa.

Leo siku ya 6 nmerud ameanza kupulizia rangi.kilichonikatisha tamaa ni ktk uchanganyaji wake. Sioni kama anazingatia vipimo vya thinner na kimiminika kingine sikifahamu na rangi yenyewe.anamimina tu kuchanganya anapuliza.

Namuuliza anajuaje ratio yake.anajibu kirahisi."tulia tu boss utaona mwenyewe kitu kinatoka kama ndo kimetoka leo kwa mwingereza"

Nimemwambia aachane na gari yangu aondoke maana naona anafanya masikhara.nlitegemea angekuwa na mchanganyiko unaofuata vipimo.

Lets say.

Rangi Lita moja
Thinner nusu lita
Na xxxxx robo au nusu lita.

Haipo hivyo.anachukua tu anamimina na kule anachukua anamimina anaweka kwenye kopo anapuliza.

WASIWASI WANGU.

inawezekana kusiwe na uwiano sahihi wa rangi au uimara wa rangi sababu mchanganyaji anachanganya kwa macho tu.

Pia alishavunja makubaliano /mkataba.nimemwambia aache gari abebe vyake tuagane kwa amani.hajaamini mpaka nlipoonesha sitanii.

Jambo hili ni tatizo kwa aina nyingi za mafundi tz.hawajali kabisa profession yao.ujanja ujanja tu mwingi wakituibia in kind.binafsi napinga sana jambo hilo.

Natafuta garage nzuri ambayo wanapiga rangi kitaalamu na bei zao ni nzuri standard siyo za kuanza kuimbishana.ila la muhimu wakisema gari uje kuchukue jumatano saa tano nikienda nikalipe nikague gari nichukue.

Hbr za msiba na ugonjwa mimi hazinihusu.

Pole kwa usumbufu uliokumbana nao.
Bongo ukitaka quality utasubiri sana! Asilimia kubwa ya mafundi ni makanjanja, ujanjaujanja mwingi na pia sio waaminifu!!
 
Pole fundi.sasa si ungesema hayo toka mwanzo kwa nini you assured me that you were an expert?

Mtoa mada una matatizo ya ule uboss wa kisenge. Watu wanaojali standard kama unavyotaka wewe huwezi peleka gari gereji bubu. Eti unamwita Fundi apake rangi nyumbani kwako, harafu unalaumu quality. Gereji bora zipo wachina wenye gereji bora wapo huko temeke wewe unatafuta mafundi wa chini ya mti. Hela huna then unaleta mazarau
Acha ushamba, wenye standard zao wanajua gereji bora sio Kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ambayo wanapiga rangi kitaalamu na bei zao ni nzuri standard
Tatizo liko hapa,

Kama unataka kupigiwa rangi kitaalamu bei usiiweke kama factor.

Wewe tafuta gereji wanayopiga rangi kitaalamu kwa gharama yoyote ile, utafurahi na roho yako.

Mtu anakuja kupigia rangi nyumbani? Vumbi na contaminants nyingine hazingatii?

Nenda sehemu gari inapigwa rangi kwenye clean room. Nakuambia utafurahi na roho yako na invoice yake pia itakufurahisha
 
Tatizo liko hapa,

Kama unataka kupigiwa rangi kitaalamu bei usiiweke kama factor.

Wewe tafuta gereji wanayopiga rangi kitaalamu kwa gharama yoyote ile, utafurahi na roho yako.

Mtu anakuja kupigia rangi nyumbani? Vumbi na contaminants nyingine hazingatii?

Nenda sehemu gari inapigwa rangi kwenye clean room. Nakuambia utafurahi na roho yako na invoice yake pia itakufurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom