Hapa Malcom X Alikuwa Na Maana Gani?

Hapa Malcom X Alikuwa Na Maana Gani?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,263
"kuwa muungwana,penda amani, heshimu kila mtu heshimu pia na sheria za nchi lakini mtu akikuonea na kukudhulu basi muharakishie safari yake ya kwenda kaburini" by MALCOM X
nimeshindwa kuelewa alimaanisha nini?
kwa waliomsoma watuambie.
 
Alimaanisha kwamba kwa kuwa mtu huyo hana wema kwako, ukimchekea atakumaliza, sasa kabla hajafanya hivyo, wewe muwahi ummalize yeye kwanza maana kinyume na hivyo imekula kwako. Mfano mzuri jambazi anapokuvamia usipomuwahi anakuua
 
Kikubwa ni kuheshimu kila mtu bila kujali rangi utaifa kabila na hata diyn lkn kama hataiona thamani ya heshima hiyo, nawe huwajibiki kumheshimu na badala yaki ikiwezekana uzizime mbio zake za kuendelea kukudharau
 
Alimaanisha kuwa akupigae ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio, akikuuliza unajionaje nawe muulize unajisikiaje.
 
Back
Top Bottom