NATA
Hapo hakuna kulipiza bhana!! Anapunguzia machungu aliyoyapata!! Jamaa alilia michozi mingi kweli, sasa Demu kaamua kumpa kifuta machozi, tatizo liko wapi NATA!!? Kinachotakiwa ni kungonoka then over Fastjet!! Ikitokea Msela hajalizika na kifuta machozi hicho, basi 713 at work, no matter what!!
NATA, wengine mambo simple eti wanaomba ushauri!! Hapa hakuna cha ushauri wala nini, dawa ni kum-Malima alafu unatokomea na SMG!!