Hamfrey Polepole umelisahau hili?..Umekurupuka.

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,652
2,628
Wadau

Nachukua fursa hii kumkumbusha katibu wa Itikadi na Uenezi haya machache kuifuta kabisa hoja yake ya Upinzani kujenga chuki kwa wananchi dhidi ya serikali

1. Amesahau kuwa wapinzani hawana pa kusemea baada ya mikutano ya hadhara kufutwa.. je wananchi wanawasikia wapi?

2. Polepole hajui kuwa bunge halipo Live sehemu ambayo wananchi walikuwa wanawafuatilia wabunge wa upinzani.

3.Hizo chuki zinajengwa wapi wakati Media haitoi habari za wapinzani?

Hamfrey aelewe kuwa hakutarajiwa kuongea hoja mfu kwani hakuna jipya alilolizungumzia Leo zaidi ya kuonyesha hofu dhidi ya upinzani na uelewa wa wananchi.

Ninavyoona Polepole amekosa hoja na hajui aitendee vipi nafasi aliyopewa kwani inaonesha kuwa alikuwa akisikika zaidi akiponda utawala uliopita ndio kutambulika kwake

Kiatu alichopewa kinapwaya.

Jee kwa hoja yake, bunge lingekuwa live na mikutano ingekuwepo hali ingekuwaje?
 
Wadau

Nachukua fursa hii kumkumbusha katibu wa Itikadi na Uenezi haya machache kuifuta kabisa hoja yake ya Upinzani kujenga chuki kwa wananchi dhidi ya serikali

1. Amesahau kuwa wapinzani hawana pa kusemea baada ya mikutano ya hadhara kufutwa.. je wananchi wanawasikia wapi?

2. Polepole hajui kuwa bunge halipo Live sehemu ambayo wananchi walikuwa wanawafuatilia wabunge wa upinzani.

3.Hizo chuki zinajengwa wapi wakati Media haitoi habari za wapinzani?

Hamfrey aelewe kuwa hakutarajiwa kuongea hoja mfu kwani hakuna jipya alilolizungumzia Leo zaidi ya kuonyesha hofu dhidi ya upinzani na uelewa wa wananchi.

Ninavyoona Polepole amekosa hoja na hajui aitendee vipi nafasi aliyopewa kwani inaonesha kuwa alikuwa akisikika zaidi akiponda utawala uliopita ndio kutambulika kwake

Kiatu alichopewa kinapwaya.

Jee kwa hoja yake, bunge lingekuwa live na mikutano ingekuwepo hali ingekuwaje?
Anayofanya Magufuli anatekeleza sera za chadema ---- ------ Sumaye
 
Wadau

Nachukua fursa hii kumkumbusha katibu wa Itikadi na Uenezi haya machache kuifuta kabisa hoja yake ya Upinzani kujenga chuki kwa wananchi dhidi ya serikali

1. Amesahau kuwa wapinzani hawana pa kusemea baada ya mikutano ya hadhara kufutwa.. je wananchi wanawasikia wapi?

2. Polepole hajui kuwa bunge halipo Live sehemu ambayo wananchi walikuwa wanawafuatilia wabunge wa upinzani.

3.Hizo chuki zinajengwa wapi wakati Media haitoi habari za wapinzani?

Hamfrey aelewe kuwa hakutarajiwa kuongea hoja mfu kwani hakuna jipya alilolizungumzia Leo zaidi ya kuonyesha hofu dhidi ya upinzani na uelewa wa wananchi.

Ninavyoona Polepole amekosa hoja na hajui aitendee vipi nafasi aliyopewa kwani inaonesha kuwa alikuwa akisikika zaidi akiponda utawala uliopita ndio kutambulika kwake

Kiatu alichopewa kinapwaya.

Jee kwa hoja yake, bunge lingekuwa live na mikutano ingekuwepo hali ingekuwaje?
Utaratibu wa kutangazza baa la njaa mnaujua? au mnaropoka tu???
 
Pole Pole bhana eti wanasiasa waongo...
Hivi umesahau ulivyotamka kua ata ukipewa ukuu wa wilaya hutokubali lkn ulipo teuliwa ulikubali kuapishwa..aaah Alafu watu kama huyu eti nae anaongelea mambo ya kitaifa...Pole Pole ni sahii kwasasa ujiunge na wachekeshaji wa Ze Komedi
 
Aeleze tani milioni 1.5 zimetoka wapi wakati mwezi Oktoba zilikuwa 90,400 kwa mujibu wa NFRA
 
Back
Top Bottom