His days are numbered, kama mwanaume aende katika Jimbo lake wa Wawi ayasema hayo anayoyasema EATV?
Hamad Rashid CCM wamekutumia na ukatumika kisawa sawa, mahala pako sasa ni kwenye pipa la taka, pole sana, dhambi ya usaliti itakutufana maisha yako yote!