Plus sukari sukari.Halua mbaya kuna demu Wangu toka zenji Mtoto Wa shekh aliniletea nimezionja haziko vizur hata kidogo ni Kama ufuta plus Kama gundi sijui nini kile.
Najaribu kuwaza tu kama kulikuwa na umuhimu wa kueleza kuwa huyo aliyekuletea alikuwa demu wako na ni mtoto wa sheikh.Halua mbaya kuna demu Wangu toka zenji Mtoto Wa shekh aliniletea nimezionja haziko vizur hata kidogo ni Kama ufuta plus Kama gundi sijui nini kile.
Ulimbukeni tu unamsumbua, akikuwa taacha. Watu kama wa sifa huwa kiukweli hana hata huyo demu, yupo desperate tu.Najaribu kuwaza tu kama kulikuwa na umuhimu wa kueleza kuwa huyo aliyekuletea alikuwa demu wako na ni mtoto wa sheikh.
Itakuwa anawatamani kweli watoto wa kipemba.Ulimbukeni tu unamsumbua, akikuwa taacha. Watu kama wa sifa huwa kiukweli hana hata huyo demu, yupo desperate tu.
Labda π π π si vibaya... asije akaumizwa roho akataka kujinyonga kwa hivo anavowatamaniItakuwa anawatamani kweli watoto wa kipemba.
Wakuu!
Hii kitu inayoitwa halua ambayo inasifika sana hasa maeneo ya Pwani na Zanzibar kiukweli imekuwa overrated kwani nimeijaribu na nimeshangaa kuiona ina ladha mbaya ukichanganya na appearance yake pia ni hovyo..
Binafsi ni mzaliwa wa Pwani, Tanga but sikuwahi kuipenda hii kitu (haijanivutia) bora hata tende zipo Good!! Sijui wenzangu mnaotumia au mliowahi kuzitumia mmezionaje?
May be am wrong on it!!
Nimejaribu kuvuta picha zake humu bt unfortunately zimegoma nilitaka Wale wanaosikia tu jina la "halua" bila Kuiona waione