Halotel wazindua mtandao wa 5G

Halotel wazindua mtandao wa 5G

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,398
Katika hali inayoonyesha ni kwenda na ushindani na kasi ya dunia hatimaye Halotel wamekuja na 5G

Naona TTCL wameachwa nyuma...Ikumbukwe halotel ndo kama ilivyo ttcl kule kwao Vietnam ni mtandao wa serikali upo chini ya Wizara ya ulinzi ya Vietnam pamoja na shirika lao la Ujasusi kule inaitwa Vietell ....Lakini wamefanya vizuri na hadi kupenya kwenye mataifa mengi tu kama matawi....Sisi kupitia ujasusi wa kiuchumi tumeshindwa kufikisha ttcl hadi Burundi na DRC mashariki ambapo uhitaji wa mtandao ni mkubwa!!.

Habari njema kwa wateja wetu na Watanzania wote.
Leo, Halotel tumezindua rasmi mtandao wa 5G, ikiendeleza kaulimbiu yetu isiyobadilika: “Spidi ni mambo yetu.”

Sambamba na uzinduzi huu, tuna furaha kumtambulisha Mr. Idriss Sultan kama Balozi Mpya wa Halotel, atakayeshirikiana nasi kuhamasisha matumizi ya teknolojia ya kasi ya juu na huduma bora za mawasiliano.

Kuanzia sasa, wateja wanakaribishwa kutembelea maduka ya Halotel kujipatia router za 5G na kuanza kufurahia kasi ya juu zaidi, uthabiti wa mtandao, na uzoefu wa kisasa wa intaneti.

Halotel, Pamoja kwa Ubora, Spidi ni mambo yetu.

#Halotel5G
#SpidiNiMamboYetu
#TeknolojiaYaKisasa
#ChaguaHalotel
1769025858040.jpg
 
Samia na serikali yake haramu waache upumbavu wa kuzuia star link, wanazuia maendeleo ya watu bila sababu ya msingi, inatia hasira sana
 
Back
Top Bottom