Halotel, kuna shida gani kwenye app yenu?

Halotel, kuna shida gani kwenye app yenu?

Zemanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
10,664
Reaction score
22,845
Habari wandugu!

Tokea jana naona app ya halotel inanikatalia kufanya kazi. Nikiingia nakutana na ujumbe unaonambia ni update app yangu. Nikienda play store nakuta hakuna updates zozote yaani app inaniambia "Open" meaning hakuna option ya ku update.

Nimengia katika mfumo wa kawaida wa *150*88# nao unanijibu "system busy" au "connection error".

Nitaweka hapa screenshot ya ninachosema mjionee.

Hawa Halotel hebu mnambie wanashida gani ndugu zangu.

Screenshot_20260127_085338.jpg
 
Back
Top Bottom