Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
1.Arusha
2.Newala
Bila lowasa yasingewezekana?!Ukawaaaa, tumaini letu
Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe halmashauri ya wilaya ya Newala imepata mwenyekiti wa halmashauri toka UKAWA
Nasaha zangu: UKAWA mkatende yaliyotofauti na yale yalofanywa na CCM kwa miaka 50+
Sasa hapa ndo tujiulize, Je, Lowassa ni ASSET AU LIABILITY?
vizuri sana, ingawa TANGA CCM WALIPORA USHINDI
1.Arusha
2.Newala