Halima Mdee Yupo Juu


Huu Mstari umenifanya nitabasamu :
" wabunge wafu kadhaa toka CUF na vibaraka wengine toka NCCR, TLP na UDP si mchezo"
 
Wakati huo kauli kama hizi hazikuleta ukakasi jamvini. Kuna haja ya kubadili mtazamo mzima wa maana ya siasa za vyama kwa CDM kubaki sokoni kwa muda wa kutosha.
 

Mkuu tupo vitani hivyo tuna makamanda wa aina mbalimbali. Tuna wapiganaji wa angani, ardhini, wanamaji na wasoma ramani. Siasa is very complicated ndio maana Mnyika ni tofauti na Lema pia tofauti na Lissu. Slaa na Mbowe pia wana utofauti. Hii ni kawaida na mchanganyiko huu ndio unaleta mafanikio unayoyaona leo. Wote wakifanana itakuwa monotonous halafu itaboa. Inampasa kila mtu kuwa real that is human nature.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…