Halima Mdee akitoka lupango atakuwa na staha. Nakumbuka aliwahi kumwambia Mbatia kuwa atamuoa

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Naam, wana JF pengine Halima Mdee anakaa lupango ili kulipia dhihaka alizowahi kumpa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Ndg.Mbatia mwaka 2010 wakati wa kugombea ubunge jimbo la Kawe.

Akiwa katika maeneo ya Wazo hii,Halima aling'oa bendera za NCCR-Mageuzi na kusimika za Chadema na kutoa onyo kwa Mbatia kwa kumwambia ''mimi sikuogopi,ninaweza kukuoa'' hali hii ilsababisha Mbatia kumfungulia Halima Mdee kesi ya udhalilishaji baada ya uchaguzi.

Naam, yawezekana kabisa wakati umefika sasa wa Halima Mdee kujitafakari upya na kuwa na staha katika matamshi yake.
 
Naam, wana JF pengine Halima Mdee anakaa lupango ili kulipia dhihaka alizowahi kumpa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Ndg.Mbatia mwaka 2010 wakati wa kugombea ubunge jimbo la Kawe.

Akiwa katika maeneo ya Wazo hii,Halima aling'oa bendera za NCCR-Mageuzi na kusimika za Chadema na kutoa onyo kwa Mbatia kwa kumwambia ''mimi sikuogopi,ninaweza kukuoa'' hali hii ilsababisha Mbatia kumfungulia Halima Mdee kesi ya udhalilishaji baada ya uchaguzi.

Naam, yawezekana kabisa wakati umefika sasa wa Halima Mdee kujitafakari upya na kuwa na staha katika matamshi yake.

Ungekuwa umeshawahi hata kukaa tu ' Lokapu ' Saa 3 achilia mbali siku tatu ( 3 ) usingekuja ' Kupayuka ' hivi. Hapo tayari Halima Mdee ' ameshapunguzwa ' kasi yake ' Kimtindo ' hivyo akitoka sasa atakuwa na ' adabu ' zote. Kinachofanyika sasa ni ' kuwatesa ' tu Kisaikolojia kitu ambacho naona ' kimefanikiwa ' sana na ' kitafanikiwa ' mno na wanaokifanya.
 
Mdee ndio alianzisha na kuongoza kampeni ya kumchafua Mbatia "shoga". Mdee huyu huyu tena ana tuhuma za usagaji na kuvuta bangi. Hiyo haitoshi Mdee alimtukana Spika wa Bunge, Ndugai " fala" ndani ya bunge kabisa huku vyombo vya habari vikimuonyesha. Pasipo hata kuona aibu wiki chache baada ya kusamehewa kosa la kutukana na bunge, akamuita Spika wa Bunge ni dhaifu.

Je dada yetu Halimu Mdee anataka nani amuonee huruma, imefikia hatua hata CDM wenzie wameanza kumchoka. Acha ulimwengu umfunze adabu tu.
 
Naam, yawezekana kabisa wakati umefika sasa wa Halima Mdee kujitafakari upya na kuwa na staha katika matamshi yake.

Hata Mandela angeomba suluhu kama kweli Sero ni jibu ya kila kitu. Wezi wangapi wanakaa ndani wakirudi mtaani wanakuwa wanatisha kuliko awali?
Kama hakuwa na dhamira kwa aliyokuwa anayasema atabadilika lakini kama alikuwa anayaamini siyo rahisi akabadilika kirahisi.

Mtoto wa mtu ni wako- Mtoto wa kike ni Taifa kuu la Kesho. Akina Baba na Mama mjitambue. Ubaguzi wowote dhidi yao ni laana kwetu!
 
Mdee ndio alianzisha na kuongoza kampeni ya kumchafua Mbatia "shoga". Mdee huyu huyu tena ana tuhuma za usagaji na kuvuta bangi. Hiyo haitoshi Mdee alimtukana Spika wa Bunge, Ndugai " fala" ndani ya bunge kabisa huku vyombo vya habari vikimuonyesha. Pasipo hata kuona aibu wiki chache baada ya kusamehewa kosa la kutukana na bunge, akamuita Spika wa Bunge ni dhaifu.

Je dada yetu Halimu Mdee anataka nani amuonee huruma, imefikia hatua hata CDM wenzie wameanza kumchoka. Acha ulimwengu umfunze adabu tu.
Naam,wakati wa kufunzwa adabu umefika.
 
Hata Mandela angeomba suluhu kama kweli Sero ni jibu ya kila kitu. Wezi wangapi wanakaa ndani wakirudi mtaani wanakuwa wanatisha kuliko awali?
Kama hakuwa na dhamira kwa aliyokuwa anayasema atabadilika lakini kama alikuwa anayaamini siyo rahisi akabadilika kirahisi.

Mtoto wa mtu ni wako- Mtoto wa kike ni Taifa kuu la Kesho. Akina Baba na Mama mjitambue. Ubaguzi wowote dhidi yao ni laana kwetu!
ajifunze kwa Lema.
 
Ungekuwa umeshawahi hata kukaa tu ' Lokapu ' Saa 3 achilia mbali siku tatu ( 3 ) usingekuja ' Kupayuka ' hivi. Hapo tayari Halima Mdee ' ameshapunguzwa ' kasi yake ' Kimtindo ' hivyo akitoka sasa atakuwa na ' adabu ' zote. Kinachofanyika sasa ni ' kuwatesa ' tu Kisaikolojia kitu ambacho naona ' kimefanikiwa ' sana na ' kitafanikiwa ' mno na wanaokifanya.

mkuu kitambo saana upo kaka?
 
Ungekuwa umeshawahi hata kukaa tu ' Lokapu ' Saa 3 achilia mbali siku tatu ( 3 ) usingekuja ' Kupayuka ' hivi. Hapo tayari Halima Mdee ' ameshapunguzwa ' kasi yake ' Kimtindo ' hivyo akitoka sasa atakuwa na ' adabu ' zote. Kinachofanyika sasa ni ' kuwatesa ' tu Kisaikolojia kitu ambacho naona ' kimefanikiwa ' sana na ' kitafanikiwa ' mno na wanaokifanya.
Yaa ni kweli mkuu wee ndo umeshaelewa kinachoendelea maana hata god bless lema ni hivyo hivyo na mpaka sasa kawa adabu tatizo wanashindwa kusoma alama za nyakati
 
mkuu kitambo saana upo kaka?

Siku utakayosikia sipo JF humu jua ' Israeli ' ndiyo ameshanichukua kimoja kwenda kufanywa ' Kuni ' huko ' Motoni ' mbinguni ila kama nikiwa hai kama hivi sasa basi ukiingia tu JF Saa 3 hadi Saa 4 asubuhi hunikosi, kisha Saa 8 hadi Saa 9 alasiri hunikosi na Saa 4 hadi Saa 6 au Saa 5 hadi Saa 6 usiku huwezi kumkosa GENTAMYCINE ' jamvini '. Hiyo ndiyo ratiba yangu ya kila siku iendayo kwa Mwenyezi Mungu na haitobadilika Mkuu hivyo ni vyema tu ukawa nayo.

Kila la kheri Mkuu na tupo pamoja sana.
 
Hata Mandela angeomba suluhu kama kweli Sero ni jibu ya kila kitu. Wezi wangapi wanakaa ndani wakirudi mtaani wanakuwa wanatisha kuliko awali?
Kama hakuwa na dhamira kwa aliyokuwa anayasema atabadilika lakini kama alikuwa anayaamini siyo rahisi akabadilika kirahisi.

Mtoto wa mtu ni wako- Mtoto wa kike ni Taifa kuu la Kesho. Akina Baba na Mama mjitambue. Ubaguzi wowote dhidi yao ni laana kwetu!
Mbona hata Mandela hakuwa na impact baada ya kutoka SERO
 
Naam, wana JF pengine Halima Mdee anakaa lupango ili kulipia dhihaka alizowahi kumpa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Ndg.Mbatia mwaka 2010 wakati wa kugombea ubunge jimbo la Kawe.

Akiwa katika maeneo ya Wazo hii,Halima aling'oa bendera za NCCR-Mageuzi na kusimika za Chadema na kutoa onyo kwa Mbatia kwa kumwambia ''mimi sikuogopi,ninaweza kukuoa'' hali hii ilsababisha Mbatia kumfungulia Halima Mdee kesi ya udhalilishaji baada ya uchaguzi.

Naam, yawezekana kabisa wakati umefika sasa wa Halima Mdee kujitafakari upya na kuwa na staha katika matamshi yake.
Kwani ni mara yake ya kwanza kutiwa ndani?
 
Ungekuwa umeshawahi hata kukaa tu ' Lokapu ' Saa 3 achilia mbali siku tatu ( 3 ) usingekuja ' Kupayuka ' hivi. Hapo tayari Halima Mdee ' ameshapunguzwa ' kasi yake ' Kimtindo ' hivyo akitoka sasa atakuwa na ' adabu ' zote. Kinachofanyika sasa ni ' kuwatesa ' tu Kisaikolojia kitu ambacho naona ' kimefanikiwa ' sana na ' kitafanikiwa ' mno na wanaokifanya.
La msingi aache ujinga.
 
Back
Top Bottom