Hali ya kisiasa Sasa ni mbaya kuliko awamu ipi?

Hali ya kisiasa Sasa ni mbaya kuliko awamu ipi?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Kuna wakati najifungia mwenyewe chumbani nikitafakari ninapowasikia baadhi ya watanzania wenzangu wakisema hali ya kisiasa Sasa ni mbaya sana. Najiuliza ni mbaya kuanzia lini? Ni mbaya kuliko awamu ipi? Kwani awamu hii Kuna nini kibaya kimefanywa kuliko awamu ya Tano, nne, pili na kwanza?

Nikagundua yafuatayo:
 
Tulishavuka siku nyingi sana,acheni ujinga wenu kumfananisha huyu muuaji mkubwa na Magu
Awamu hii hakuna maiti zimeokotwa zinaelea, hakuna aliyemiminiwa risasi, akina saanane na yule mwandishi hawajapotea kwenye awamu hii, awamu hii hakuna watanzania walioikimbia nchi., awamu hii vyama vya siasa vinafanya kazi yao ya siasa, kuliko awamu ya tano. Wafanyakazi wameongezwa mshahara yao. Kwanini watu wanasema hali ya kisiasa ni mbaya sana?

Mama amefanya nn ambacho hakijawahi kufanywa awamu zilizopita?
 
Awamu hii hakuna maiti zimeokotwa zinaelea, hakuna aliyemiminiwa risasi, akina saanane na yule mwandishi hawajapotea kwenye awamu hii, awamu hii hakuna watanzania walioikimbia nchi., awamu hii vyama vya siasa vinafanya kazi yao ya siasa, kuliko awamu ya tano. Wafanyakazi wameongezwa mshahara yao. Kwanini watu wanasema hali ya kisiasa ni mbaya sana?

Mama amefanya nn ambacho hakijawahi kufanywa awamu zilizopita?
Sasa hivi wanatengeneza BBQ na baadaye kuwachoma moto
 
Awamu hii hakuna maiti zimeokotwa zinaelea, hakuna aliyemiminiwa risasi, akina saanane na yule mwandishi hawajapotea kwenye awamu hii, awamu hii hakuna watanzania walioikimbia nchi., awamu hii vyama vya siasa vinafanya kazi yao ya siasa, kuliko awamu ya tano. Wafanyakazi wameongezwa mshahara yao. Kwanini watu wanasema hali ya kisiasa ni mbaya sana?

Mama amefanya nn ambacho hakijawahi kufanywa awamu zilizopita?
Mishahara ipi wewe kima,watu wanauliwa wewe unasema Mishahara,nitajie prominent figure yoyote aliyeuliwa kipindi cha Magu,yaani ambaye unamfahamu kwa jina au alikuwa maarufu,ni hearsay tu kumchafua Magu,ila huyu watu wanachukuliwa peupe na kuuliwa
 
Nadhani level ya maraika mkuu tushaivuka
 

Attachments

  • 20250502_170553.jpg
    20250502_170553.jpg
    67 KB · Views: 20
Mishahara ipi wewe kima,watu wanauliwa wewe unasema Mishahara,nitajie prominent figure yoyote aliyeuliwa kipindi cha Magu,yaani ambaye unamfahamu kwa jina au alikuwa maarufu,ni hearsay tu kumchafua Magu,ila huyu watu wanachukuliwa peupe na kuuliwa
Mbona wewe hujatekwa Wala kuuliwa, imekujaje? Je, una jamaa au ndugu Yako aliyetekwa au kuuliwa? Tupatie somo umefanyaje mpaka hukutekwa wewe na ndugu zako wote .

Kitu ambacho hujui ni kwamba sio kila Asieonekana ametekwa na serikali. Lakini sio watu wote hawastahili kutekwa. Ukitembea na mke wa mtu mwenye mke ndiye anaeamua nini akufanye.

Hata Marekanani na Ulaya wako watu wanauliwa na kutekwa na kifukizwa nchi kabisa. System ndiyo inayosema nani abaki3na nani aondoke. Nchi ni kubwa kuliko3mtu mmoja mmoja
 
Acha ungese,,JPM hakuwa mwizi wala kibaka km huyu mama enu,,tafteni wa kumwangushia mzigo...huyu ameweka record mbaya kuliko awamu zote.
Sisi sio wajinga, Tuambie kaiba nini wapi na lini. Maana Richmond, IpTL na escrow haikutokea wakati wake. Kama kaiba hayo mabwawa ya umeme, SGR, Daraja la busisi, DART, usambAzaji wa maji na umeme nk anatekeleZa kwa pesa ipi?
 
Sisi sio wajinga, Tuambie kaiba nini wapi na lini. Maana Richmond, IpTL na escrow haikutokea wakati wake. Kama kaiba hayo mabwawa ya umeme, SGR, Daraja la busisi, DART, usambAzaji wa maji na umeme nk anatekeleZa kwa pesa ipi?
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA

NO REFORM NO ELECTION
 
Kwan unaish Tz?
Kuna wakati najifungia mwenyewe chumbani nikitafakari ninapowasikia baadhi ya watanzania wenzangu wakisema hali ya kisiasa Sasa ni mbaya sana. Najiuliza ni mbaya kuanzia lini? Ni mbaya kuliko awamu ipi? Kwani awamu hii Kuna nini kibaya kimefanywa kuliko awamu ya Tano, nne, pili na kwanza?

Nikagundua yafuatayo:
 
Awamu hii hakuna maiti zimeokotwa zinaelea, hakuna aliyemiminiwa risasi, akina saanane na yule mwandishi hawajapotea kwenye awamu hii, awamu hii hakuna watanzania walioikimbia nchi., awamu hii vyama vya siasa vinafanya kazi yao ya siasa, kuliko awamu ya tano. Wafanyakazi wameongezwa mshahara yao. Kwanini watu wanasema hali ya kisiasa ni mbaya sana?

Mama amefanya nn ambacho hakijawahi kufanywa awamu zilizopita?
Ally kibao una mjua ? Kama hauish Tz bas kaa kimya tuache na huyu shetan wetu ccmu
 
Nguvu iyo wangekuwanayo Sasa hivi Lissu angekuwa nje majukwaani. Hawana kitu bhanaaaa.
 
Back
Top Bottom