Geezzle
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 849
- 267
Amani hakuna tena kwa wanasua wa khonda maghorofan,ni baada ya ugomvi uliotokea jana usku kat ya wanafunz wa2 na bodaboda mmoja!imebidi polis waje kulnda usalama kufuatia vtsho vya bodaboda wengi vilivoanza toka jana usiku,leo asubuh na masaa machache yalyopita.