Hakuna wa kumpinga Lowassa

Hakuna wa kumpinga Lowassa

KISAKA MORIS

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
372
Reaction score
33
Nipende kusema tu kuwa mimi siyo mwana CCM ila ntamuunga mkono Mheshimiwa E.L atakapoamua kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Uraisi ndani ya chama chaka hata kama mgombea binafsi kama katiba mpya itakuwa inasema hivyo. Sababu za kukupa kura yangu ni nyigi sana. Kama una nia nikupe nguvu zaidi ya kupambana Mungu akubariki......
 
Waislam wanamkumbuka kama mtu aliyesimamia mkataba wa kuwapa wakristu mabilioni ya m.o.u akisaidiana na slaa.Hao watu ni wasaliti kwa mtazamo wa waislam
 
Jamani,hivi mnalipwa bei gani?

Maana kwa makali haya ya umeme sidhani kama kuna mwendawazimu yoyote angekuja kutapika humu jukwaani na kuviita 'vichupa' eti ni dhahabu!
 
Nipende kusema tu kuwa mimi siyo mwana CCM ila ntamuunga mkono Mheshimiwa E.L atakapoamua kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Uraisi ndani ya chama chaka hata kama mgombea binafsi kama katiba mpya itakuwa inasema hivyo. Sababu za kukupa kura yangu ni nyigi sana. Kama una nia nikupe nguvu zaidi ya kupambana Mungu akubariki......

Ivi wewe ni mtanzania? Je unaweza kumkabidhi jambazi funguo za stoo?
 
Ninapendekeza tabia zetu zifayiwe usafi, mwzi sio mwizi vile tu unafaidika naye?? ndo jamii yetu ya leo, ukianyakazi miezi mwili ukanunua kiwanja, gari na nyumba, wazaz wanaksifia na jamii badala ya kukamata mwizi wanakgwaya kijinga kijinga
 
Back
Top Bottom