Hakuna mgogoro CUF -Seif


Hata mie nililiona hilo, Maalim seif ni mjanja na mnafiki. Kuita waandishi wa habari ilikuwa na lengo hasa la kumjibu hamad Rashid. Anatufanya wajinga -- awafanye wajinga watu wake wa Pemba. navyoamini leo hii Maalim Seif akiwaambia Wapemba wote warudi CCM, tutaona misururu mirefi ya Wapemba katika ofisi za CCM wakiomba kadi za uanachama!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…