Hakuna Mbunge Mteule, bali Rais Mteule

Asante mkuu, si wanafunzi peke yao hata watu wazima tunakumbushana!
Elimu ni bahari!
 
Pia mbunge akichaguliwa kuna kuwa hakuna mbunge mwinge aliyeko anatumiakia ubungee Maana binge linakuwa limeshavunjwa. Wakati upande wa uraisi bado raisi anakuwa madarakani kipindi raisi mteule ametangazwa

Msekwa alikosea. Kwa lugha rasmi, yeyote anayehitaji kuapishwa kabla ya kuanza kazi ni mteule. Kuchagua Spika hakubadilishi status yake ya uteule. Kwa lugha ya kawaida hakuna ubaya kumwita 'mbunge' hata kama hajaapa
 

Nimekubali kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…