Nyie ndo mnasababisha wanafunzi wafeli mitihani, tangu lini JF ikawa Mamlaka ya kutoa Rejea mashuleni ? Kama ni tafsiri ya maneo ya Kiswahili sitarajii kama JF ni Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Je, mwanafunzi akifanya rejea ya neno kutoka Jf kwenye majibu ya mtihani ataandika kuwa source ni JF ? Aidha, hao wana JF watakakaotoa maana ya hilo neno, una uhakika gani ni ni sawa ? Acheni kuchangia kushusha kiwango cha elimu ya Tanzania.