Hakuna masika yasiyo na mbu...!

nkyandwale

Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
64
Reaction score
15
Nani ana taarifa sahihi za kushikiliwa kwa mwana jf...?
Kwanini ashikiliwe...? Kama kuna ukiukwaji katika kazi zake, kwanini mtandao usifungwe, iliuchunguzi ushike nafasi, kama yafungiwavyo baadhi ya Magazeti...? Ukweli utadhihili...! Nijuzeni wanajf kulikoni...?
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…