Hakuna kuoa kwa hali hii







mkuu,yalo nitokea mm ni aibu kusimulia...hao viumbe sitokaa niwaamin katk maisha yang..namuomba Mungu Anipe macho ya kuwatambua.
 




Aisee mkuu,hao hawasomeki na hawatabiriki.
 
Na mimi nawachukia wanaume vibaya mno na lazma azma yangu itimie ya kukomesha nyinyi wanaume!
Na kama nikizaa kwa bahati mbaya mtoto hutamshika mpaka unaingia kaburini.
unaumwa ww si bure....🙁
 
Na mimi nawachukia wanaume vibaya mno na lazma azma yangu itimie ya kukomesha nyinyi wanaume!
Na kama nikizaa kwa bahati mbaya mtoto hutamshika mpaka unaingia kaburini.
Kuzaa kwa bahati mbaya kukoje....acha kuchekesha....huwezi kumzuia mtoto kuonana na babaye
 
kaka kweli umevunjika moyo
 
Na mimi nawachukia wanaume vibaya mno na lazma azma yangu itimie ya kukomesha nyinyi wanaume!
Na kama nikizaa kwa bahati mbaya mtoto hutamshika mpaka unaingia kaburini.

Ni mapema sana kusema hivo. Tusipende kulipiza baya kwa baya
 
mkuu,yalo nitokea mm ni aibu kusimulia...hao viumbe sitokaa niwaamin katk maisha yang..namuomba Mungu Anipe macho ya kuwatambua.

Wapo wanawake bora eti na wenye sifa stahiki. Asikutende mmoja ukachukia wote

Muombe mungu akupe wa kufanana nae.
 
Wapo wanawake bora eti na wenye sifa stahiki. Asikutende mmoja ukachukia wote

Muombe mungu akupe wa kufanana nae.
Wapo wanawake bora eti na wenye sifa stahiki. Asikutende mmoja ukachukia wote

Muombe mungu akupe wa kufanana nae.
Wapo wanawake bora eti na wenye sifa stahiki. Asikutende mmoja ukachukia wote

Muombe mungu akupe wa kufanana nae.



Itanichukua muda saana mkuu,,omba usikutwe..mnajikuta mmependana saana tena mkisaidiana katika shda na raha.yaan mmeaminiana vilivyo,lkn ghafla mwenzako anakugeuka tena ghafla,,unajiuliza,Hivi huyu ni yule naye mfahamu? au ameingiliwa na mashetani#
 
kwa kijana anayejielewa vzr na anawatambua hawa watu walivyo

ni vyema uweke moyo wako wote , nguvu zaki zote, mali zako , na upendo wako wa dhati katika kusaidia jamiii ili kuikwamua kimaisha
cku moja iyo jamaa itakuombea mema , itakukumbuka na itakuenzi kwa kuyafanya yale mema uliyokuwa ukiyafanya na hapo tutajenga taifa ra amani na upendo

lkn kwa kijana asiye jielewa atawekeza nguvu zake , malli zake , moyo wake ktk kumpenda mwanamke ambaye fadhila ulizomtendea hawezi kuzkumbuka wala kuzienzi kwa kuwatendea watu wengine

mwenye kuelewa na aelewe asietaka kuelewa endelea utauona mwisho wake
 
mkuu,yalo nitokea mm ni aibu kusimulia...hao viumbe sitokaa niwaamin katk maisha yang..namuomba Mungu Anipe macho ya kuwatambua.
It seems wanaolalamika huku ni wale waliotendwa, tena bora nyie wanaume mnaumizwa kihisia wanawake wanazalishwa na wanaachwa..
 
Na mimi nawachukia wanaume vibaya mno na lazma azma yangu itimie ya kukomesha nyinyi wanaume!
Na kama nikizaa kwa bahati mbaya mtoto hutamshika mpaka unaingia kaburini.
Mmh!! hii sasa ni tatizo
 
mimi sina la kuongea ngoja niendelee kupata kinywaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…