Hakuna kitu wanaume tunachanganyikiwa kama kuona kiatu kizuri, dundo la maanaa tukiwa bar

kadefeghe

JF-Expert Member
Apr 21, 2012
446
629
Wakuu.

Mimi asilimia 80 ya madundo a.k.a viatu nannuliaga bar...hawa chingaa wanaopitaga bar huwaga wanatushikaa kwa kweli...ni experience yangu lakn kiasi huwaga siez endaa Sehem kuchagua viatu naonaa boraa nitege bar hivi chingaa watanileteaa...

Anyway n uzoefu tu..apa yenyew Kuna dundo nmelichkua kwa chingaa

....@uhuru umezidi
 
Wakuu..Mimi asilimia 80 ya madundo a.k.a viatu nannuliaga bar...hawa chingaa wanaopitaga bar huwaga wanatushikaa kwa kweli...ni experience yangu lakn kiasi huwaga siez endaa Sehem kuchagua viatu naonaa boraa nitege bar hivi chingaa watanileteaa...
Anyway n uzoefu tu..apa yenyew Kuna dundo nmelichkua kwa chingaa
....@uhuru umezidi
Akili itakukaa vizuri siku uamke ukute umeuziwa vyote vya kushoto..
 
Back
Top Bottom