Suala la Uongozi si suala la Mtu alivyo, suala la mfumo unaomweka madarakani yeye, mfumo ndio unaoamua nini kinapaswa kufanyika, iwapo kiongozi anakuwa na yake maana yake analazimisha mfumo umuondoe madarakani. Dikteta anaweza kukuza uchumi ila haweza kuleta maendeleo kwasababu vitu siyo watu, hata huduma katika Taifa haziwezi kuwa katika focus ya maisha ya watu, China mpaka leo watu bado wananyongwa na wakati mwingine without single opportunity of freedom of expression. Kinachohitajika siyo personal thought kwenye uongozi kinachotakiwa ni nchi kuendeshwa kitaasisi.