Hakuna binti mgumu... real experience


Huo Ndo Udhaifu Wenyewe.

Kama binadamu wote wa hii dunia wangefata kanuni basi,dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi
 
Last edited by a moderator:
Yes U Did Kwa Kusema Hao Walokole Ni Geresha Tuu
Huenda ukawa na matatizo usiyoyajua
Sijasema "hao walokole' jambo ambalo ningekuwa nimewajumlisha walokole wote ambao hata hawamjui huyo mang'aa na ujing.a wake

Mimi nilisema "Huo ulokole wake" term ambayo hai generalize
Au huji kuwa kuna tofauti hiyo?

Hebu jifunze kusoma kwa makini
In my Opinion that's Judging
Your opinion come from wrong type of thinking which led you to a wrong conclution

You need to learn how to read correctly and understand the context!
 
Huo Ndo Udhaifu Wenyewe.
"Huo" upi?
Kama binadamu wote wa hii dunia wangefata kanuni basi,dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi
Inaonekana hata hujaelewa ni kanuni gani ninazozizungumzia hapo

Hebu rudia huenda ukaelewa ninachozungumza hapa!
 

Hapa kuna mabo mawili

1:Huna kabisa uwezo wa kusoma na ukaelewa

2:Husomi ninachokuandikia

Mapadri kuwa binadamu hiyo maana yake na wao wanapitia kanuni zote za maumbile kama binadamu mwingine yoyote yule hivyo wao sio wa kutolewa mfano ndio maana nikakupa mfano wa Alien

Kama wewe ni muumini na unatarajia binadamu mwingine ambae tu anaitwa padri awe mkamilifu kuliko wengine utakuwa na matatizo makubwa sana ya kufikiri

Unaendelea kurudia makosa yale yale ya mwanzo
Sijasema huyo dada wa kilokole ni geresha,nimesema huyo dada wa ulokole wake ni geresha
Au hujui kuwa hizo sentensi mbili zinaelezea mambo mawili tofauti?

Pia sijasema kuwa yeye ni mkamilifu ila yeye kuwa mlokole kunamaanisha amepitia kwenye utambuzi na yuko connected na nguvu kubwa sana kuliko binadamu ambayo inaweza kumsaidia pale atakapohitaji msaada wa hiyo nguvu kwenye mambo ambayo yanamzidi nguvu yeye kama binadamu

Pia pamoja na hilo sio kwamba hawezi kuanguka dhambini ila huko kuanguka sio kwa hovyo kama alivyofanya huyu

Ndio maana nikakuambia kuwa huo ulokole wake ni gheresha tu!
 
"Huo" upi?

Inaonekana hata hujaelewa ni kanuni gani ninazozizungumzia hapo

Hebu rudia huenda ukaelewa ninachozungumza hapa!

Eiyer Don Complicate things,
Kama unataka kunichallenge,Mie Najua ni Mgumu Kuelewa,

Tuishie Hapa!!!
 

Uwezo Wangu Wa Kuelewa Mambo ni Mdogo Ndo Maana Sitaki Unilazimishe Nifate Unachokisimamia
 
We nawe. .
Ilikuwa ndio mara yako ya kwanza kutongoza na kukubaliwa?
 

Ha ha haaaaa! Huyu naye ni great thinker! Kazi kweli kweli!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umenena vema mkuu. Huyo ni agent wa Lucifer yuko kazini.:juggle:
Duuuuh! maagent kama hawa wako wengi sana Tabora, hawashindwi kwenda hadi kwa waganga wa kienyeji kuloga, wakifanikaiwa wanaanza kujisifu,,,
 
...somo zuri Sana WaliNazi. Ila Ni kawaida, hata walioko kwenye imani, washika dini wanaanguka, they're humans kwa hiyo sio ajabu Sana...Daudi, Petro na wengine wengi walianguka pia..
 
Last edited by a moderator:
Tengeza C.V u apply kazi ya kutongoza walokole atleast upate ka mshahara.Nimeona umejisifia sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…