Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Baada ya serikali yake kupiga marufuku utolewaji wa vibari holela vya sukari nchini, na kuelekeza kwamba vibari vitatolewa na watu watatu, yaani yeye Rais, makamu wake na waziri mkuu tu, ili kulinda viwanda vya ndani, upotoshaji mkubwa ulianza kuenezwa na walanguzi na wakwepa kodi wakubwa wa sukari dhidi ya juhudi hii ya mheshimiwa Rais.
Lengo kubwa likiwa ni kupima ubavu na msimamo wa serikali Ya awamu ya Tano.Ilitumika propaganda kubwa sana, kwa kutumia media mbali mbali, baadhi kuponda maamuzi haya ya mheshimiwa Rais.
Lakini msimamo wa serikali ulibaki pale pale.
Sasa naweza Sema kundi lile limeshindwa na wamekua wapole, yaani kimya kabisa.Kupata uhakika wa hili ni kwamba kwenye media, issue ya sukari zimeachana nayo kabisa, heading za media si sukari tena.
Hongera Rais Magufuli kwa msimamo ulioonyesha kwenye sakata hili.
Na hakika nchi utaifikisha mahali ambapo kila mtanzania atafurahia matunda ya nchi hii na si kikundi cha wachache.
Lengo kubwa likiwa ni kupima ubavu na msimamo wa serikali Ya awamu ya Tano.Ilitumika propaganda kubwa sana, kwa kutumia media mbali mbali, baadhi kuponda maamuzi haya ya mheshimiwa Rais.
Lakini msimamo wa serikali ulibaki pale pale.
Sasa naweza Sema kundi lile limeshindwa na wamekua wapole, yaani kimya kabisa.Kupata uhakika wa hili ni kwamba kwenye media, issue ya sukari zimeachana nayo kabisa, heading za media si sukari tena.
Hongera Rais Magufuli kwa msimamo ulioonyesha kwenye sakata hili.
Na hakika nchi utaifikisha mahali ambapo kila mtanzania atafurahia matunda ya nchi hii na si kikundi cha wachache.