Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

ILA MI NIMEFURAHI UTAFKIR HUYO ZAMA NAMJUA !
hiii ndo dawa ya wanaume wanaoamini ukishazaa au kuolewa nao hakuna masiha mengine tnea!
 
ILA MI NIMEFURAHI UTAFKIR HUYO ZAMA NAMJUA !
hiii ndo dawa ya wanaume wanaoamini ukishazaa au kuolewa nao hakuna masiha mengine tnea!

Alijisahau alijua kashazalisha watoto wawili basi ndo hana pa kwenda....kanyakuliwa kama kifarangaaa, rahaaa
 
Wakuu kuna clip zimesambaa Jana za boss Ruge wa Clouds FM amerekodiwa na aliyekuwa mpenzi wake aliyezaa nae watoto 2 akimlilia huyo mwanamke asimuache, baada ya huyo mwanamke ambaye ni mtangazaji wa Cloud FM anayeitwa Zamaradi Mketema kuamua kuolewa na anayesemekana ni mtoto au mtu wa karibu na mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Je, anaweza kufungua shauri mahakamani akadai haki yake ya privacy kuingiliwa bila idhini yake. Wataalamu wa sheria mtusaidie.

My Take:
Nimeamini mapenzi yana nguvu, kwa jinsi jamaa alivyokuwa analia basi huyo dada anaonekana mtamu sana. Wanaume pia tuwe makini, tuache michepuko hawa wanawake wamekuwa makatili sana nowadays.


na nyie Clouds mlimrekodi Bashite akiingia ofisi za Clouds kutengeneza kipindi cha akiwa na walinzi wake na mkazisambaza mitandao,kwahiyo bashite nae awashitaki mahakamani kudai haki zake?Ruge awe mpole,mwanamme kunyangwa mwanamke na udhaifu wa aliyenyanganywa(hatoshi kuitwa mwanamme),hivyo awe mpole!
 
Jiamini ww mwanamke usimpe nafasi ya kumuamini hata chembe maana wanahuruma sana anaweza kumhurumia yeyote
 
Ruge akimuhitaji Zamaradi anampata anytime. Sababu ana hela pia wamezaa Watoto.

Siku zote kuoa Single Mother inachangamoto sana hasa Baba wa watoto akiwa hai na hajaoa.

Sijui Huyo Mtoto wa Waziri Mkuu kama hana wivu. Kama anawivu na hasira hiyo ndoa haitodumu.
Itabidi ajifanye mpumbavu ili ndoa idumu.
 
Ruge akimuhitaji Zamaradi anampata anytime. Sababu ana hela pia wamezaa Watoto.

Siku zote kuoa Single Mother inachangamoto sana hasa Baba wa watoto akiwa hai na hajaoa.

Sijui Huyo Mtoto wa Waziri Mkuu kama hana wivu. Kama anawivu na hasira hiyo ndoa haitodumu.
Itabidi ajifanye mpumbavu ili ndoa idumu.
Ssasa kama ana hela kwa nini ameachwa sasa?....zama amemchoka jamaa na hela zake na uhakika hawezi kumpata tena
 
Mimi ningemwambia "hata ukiniacha nilishaku...."
Halafu nachapa mwendo!
 
Inaonekana jamaa alilewa demu akatake advantage na kumrekodi kabisa dah


Haaaa sio kulewa pombe... Kalewa mapenzi ya mbunye weweee, mbunye yake imechukuliwa mchana kweupeeeeee na hapo sio kalewa ni analilia mbunyeeee, yaani analia, kila mmoja ana sauti yake akilia kwa uchungu hapo kachanganyikiwaaaaaa yaani anasema nakufaaaa miee nakufaaa hiiiiiii heee uuuuhh hhhoowwrr kama anakata roho kwa kujizungusha kitandani sbb anajua Zama ameshabebwa na anapigwa pxmbx vibaya na ameolewa rasmi na watoto wamechukuliwa Ruge kabaki uchiiiiii.. Haaaaaaa hiyo sio kalewa ni sauti yake ya uchungu koo limebana hasira na maumivu ya kuchukuliwa mke kihalali wala sio kaibiwa, Zama kachukuliwa kihalali sasa koo la Ruge hewa inashindwa kupita kwa uchungu na hasira na pressure na kulia na moyo unataka kutoka, kachanganyikiwa, kapanic, anadhani anaota akicheki ni kweli, so sio kalewa ni uchunguuu huooo.. Hhaaaaa, unafikiri ROHO ikikaribia kuacha mwili sbb ya mapenzi ni kazi rahisiii haaaaaa hakuna kulewa hapo Ruge kuvurugwaaaaaa 100%, msumari wa motoooo wa mapenzi umempata katikati ya moyooo na kumchana chana paaaapp..!! anaona gizaaaa kabaki mtupuuuuuu mmmaninaaaaaahh... Hujasikia hapo anasema anatoka nje atembee UCHI.. Haaaa haaaaaaaaa haaaa i feel so happy
 
Muosha uoshwa kaliza wasanii Sana nae Leo kamlilia cheusi mangara mapenzi yana nguvu Aisee kushinda bull dozer
 
Back
Top Bottom