Hajui sawa

mopee9

Member
Joined
Jul 24, 2019
Posts
32
Reaction score
40
Hivi nahitaji ufafanuzi wa haki sawa maana yake ni nini? Maana matumizi nyumbani ni jukumu la baba kupeleka watoto shule ni lake kuhakikisha usalama wa sehemu munapoishi ni la baba mama akifanya ni kwa msaada tu.kitu kikiwa kizito kubeba utasikia hiki anakiweza mwanaume. Sasa haki inayodaiwa na kutakiwa kuwa sawa ni ipi?
 
Ziko nyingi zaidi ya hizo chache ulizotaja

Maisha yanahitaji kusaidiana majukumu akipewa nafasi sawa mama anamchango mkubwa sana katika ustawi wa familia mpe nafasi mfurahie maisha
 
Sikuhizi vitu vizito vinabebwa na forklift, excavator, crane, roboti etc. Ulimwengu wa sasa unaendeshwa kwa soft part of human. That is why Woman=Man. Ulimwengu unatabiliwa kushikiliwa na wanawake katika nyanja nyingi mbalimbali kwa sababu woman are more Humanity, flexble and nimbleness and that are key part of future daily life . Achana na mambo ya ubabe Ulimwengu tuaoingia ni wa data technology, vita mtu anapigani yupo chumbani na laptop tu mkuu. Change your mindset nguvu na mabavu ya misuli za mwili hazina misaada huko mbele mkuu.
Matatizo unayoyataja yote yanafanywa bila kuhitaji misuli na nguvu kubwa. surviallance camera, gari kupeleka wato shule, electrical short katika uzio pamoja na robort, bastola hata mtoto wa la saba atatuia kujilinda.
 
Ahsante
 
kuchepuka
 
Kuna vitu viwili ambavyo ni tofauti navyo ni equal rights and gender roles. Ukivichanganya hivyo lazima nyumbani iwake moto.
 
Ziko nyingi zaidi ya hizo chache ulizotaja

Maisha yanahitaji kusaidiana majukumu akipewa nafasi sawa mama anamchango mkubwa sana katika ustawi wa familia mpe nafasi mfurahie maisha
Huru ana wote lakini sijaona
 
Hupo ulimwengu gani huo maana hiyo sio tanzania wala Africa.eti mtoto atajilinda!kesi kila siku ni za nini kuibiwa watoto nahisi uko chini ya 18 hujui majukumu bado.
 
Halafu wanawake bwana siku zote wanaamini sisi wanaume ndio tutatangulia kufa...Kama huamini we mwambie umeamua kuuza nyumba ya familia..utasikia akikwambia "halafu ukifa uniache nipate tabu na watoto".
 
Hakii Sawa,,,tuko na kikao cha kutaka wanaume nao wazae
 
This!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…