Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 303
- 1,158
Nakuhakikishia Haji Manara, kwa vile umeitukana sana Simba na kuiona haikukusaidia lolote katika maisha yako, basi subiri gemu ya Burundi na vs Cameroon ambayo umepewa ubalozi wa kuhamasisha ili watu wajae uwanjani, wewe umekuwa ukitamba kuwa kazi ya kuhamasisha hutumii nguvu, unapiga promo kidogo tu mtu zinamiminika dimbani zenyewe, sasa Burundi wamekuomba ujaze uwanja keshokutwa.
Ukifikisha watazamaji 5000 nitaenda kuomba kusafisha bure vyoo vya uwanja wa Taifa, kudadadeki
Ukifikisha watazamaji 5000 nitaenda kuomba kusafisha bure vyoo vya uwanja wa Taifa, kudadadeki