GE2020 Haileti mantiki

Hawa ndiwo wawakilishi waliochaguliwa na wananchi, wananchi wanaipenda sana ccm, sasa nchi yetu inaenda kuwa kama ulaya
ƙariɓu 36% ƴa waɓunge wenu mnasema wamepita ɓila ƙupingwa ,sasa sijui wataenɗa ƙumwongoza nani maana hawajamchagua hao wananchi mnao sema wanaipenɗa ccm , swali mnaposema ƙapita ɓila ƙupingwa je huƴo waƙumpinga au ƙumƙataa aliƙuwa nani ƙama si huƴo mwananchi mliƴe mnƴima haƙi ƴaƙe ƴa ƙumpata ƙiongozi anaƴe mtaƙa👎shame😢😢
 
Hii ni matokeo ya wasomi tulio nao.

Hatuwezi kufanya chochote.Tuliwasomesha ili watusaidie,na kwa upeo wa elimu zao,wameona hii ndiyo njia bora ya kufanya.Sisi ni nani kuwakatalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…