tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
mimi hapo wanaume ndio mnaponishinda.....inakuwaje mkishaoa ndio huwa mnajifanya mnawapenda maex wenu.....mimi ilishawahi kunitokea eti mtu kaoa ndio anajifanya anataka kucare....si muendelee na maisha yenu....au ni wivu huwa unawasumbua?...
Mkojeee?
Duh ni hatari but inawezekana aliruka mkojo akaangukia ... pua.
Nitardihikaje jamani
niliye naye,
nitulie nimpende kwa dhati ili naye anipendi
Kazi kweli kweli mapenzi.