sitaki kuamini Tz imefirisika kiasi cha kushindwa kujua ni jinsi gani ya kuboresha elimu ili kuwa na wahitimu wenye ushindani (competitive) na badala yake inaamua kuweka mazingira yatakayo mfanya mwanafunzi iwe vigumu kufeli...sasa napata majibu ya migogoro iliyopo ya EAC, huwezi tegemea kufaidika na jumuiya kama una watu vilaza maana hawataweza kushindana na wenzao katika soko la pamoja la ajira...solution pekee ni kujifungia tufanye ya kwetu kibongo bongo huku tukidanganyana "tuna raslimali nyingi wenzetu wanatuonea wivu"
Je,utajifungia kwa muda gani au mara ngapi? ndiyo unawezafanikiwa kujificha waganda,wakenya,warundi nk wasikuone...vipi utajificha wapi wakija WTO?
"Tanua magoli wachezaji wetu kila mmoja afunge hat trick"....
Je,utajifungia kwa muda gani au mara ngapi? ndiyo unawezafanikiwa kujificha waganda,wakenya,warundi nk wasikuone...vipi utajificha wapi wakija WTO?
"Tanua magoli wachezaji wetu kila mmoja afunge hat trick"....