Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Brazil leave out Ronaldinho and Kaka
May 14, 2013
By ESPN staff
Ronaldinho and Kaka have not been named in Brazil's squad for their Confederations Cup campaign.
On Tuesday, Brazil head coach Luiz Felipe Scolari announced his 23-man selection for the tournament, which begins on June 15.
Experienced duo Ronaldinho and Kaka were among the surprise omissions, as well as Manchester United's Rafael and Chelsea's Ramires.
http://espnfc.com/conversation?id=1447333&cc=3888
May 14, 2013
By ESPN staff
Ronaldinho and Kaka have not been named in Brazil's squad for their Confederations Cup campaign.
On Tuesday, Brazil head coach Luiz Felipe Scolari announced his 23-man selection for the tournament, which begins on June 15.
Experienced duo Ronaldinho and Kaka were among the surprise omissions, as well as Manchester United's Rafael and Chelsea's Ramires.
http://espnfc.com/conversation?id=1447333&cc=3888
Wachezaji mahiri wa Brazil:Ronaldihno na Kaka wameachwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Brazil kinachojiandaa kwa Mashindano ya Mabara. Pamoja na kufanya vyema katika vikosi vyao vya Minerio pamoja na Real Madrid,Kocha wa Brazil Luiz Felipe Scolari amewaacha wachezaji hao.Kikosi kamili cha Brazil ni hiki:
Walinda mlango: Julio Cesar (QPR), Diego Cavalieri (Fluminense), Jefferson (Botafogo).
Walinzi: Thiago Silva (PSG), Rever (Atletico Mineiro), David Luiz (Chelsea), Dante (Bayern Munich), Daniel Alves (Barcelona), Jean (Fluminense), Marcelo (Real Madrid), Luis Filipe (Atletico Madrid).
Viungo :Fernando (Gremio), Hernanes (Lazio), Luiz Gustavo (Bayern Munich), Paulinho (Corinthians).
Washambuliaji: Jadson (Sao Paulo), Oscar (Chelsea), Lucas Moura (PSG), Hulk (Zenit), Bernard (Atletico Mineiro), Leandro Damiao (Internacional), Fred (Fluminense), Neymar (Santos).