madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 861
Nachukua fursa kuwaomba wana jf mnipokee,tubadilishane mawazo!.
me namawazo ya viroba! unasemaje..?Nachukua fursa kuwaomba wana jf mnipokee,tubadilishane mawazo!.
viroba vyenyew si ndio vimepigwa pin!me namawazo ya viroba! unasemaje..?
me nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?viroba vyenyew si ndio vimepigwa pin!
shukraniKaribu sana JF.
shukraniKaribu sana
vp mkuu,kwan yako ipi?Wewe ni me au ke
me nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?
dah wacha wafungie turudi zama za kachasome nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?
usiache mbachao kwa msala upitao! mi naona kuna fursa hapo lkn inateketezwa kwa moto!dah wacha wafungie turudi zama za kachaso