Habari zenu wana jf

Habari zenu wana jf

madala mujipa

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
1,421
Reaction score
864
Nachukua fursa kuwaomba wana jf mnipokee,tubadilishane mawazo!.
 
viroba vyenyew si ndio vimepigwa pin!
me nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?
 
me nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?
me nafikiri vingepandishwa bei au hivyo walivyovikamata waviuze hiyo hela wawekeze kwenye kilimo ili tupunguze ukosefu wa ajira au unaonaje..?
dah wacha wafungie turudi zama za kachaso
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom